iqna

IQNA

siku ya kiyama
Sura za Qur’ani Tukufu /69
TEHRAN (IQNA) – Al-Haqqah ni miongoni mwa majina ya Siku ya Hukumu au Siku ya Kiyama. Inamaanisha kitu ambacho ni hakika, kilichoamuliwa na chenye uhakika. Sura inawaonya wale wanaoikadhibisha Siku ya Kiyama na inaonesha hali yao siku hiyo.
Habari ID: 3476806    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/03

Sura za Qur'ani Tukufu /57
TEHRAN (IQNA) - Kuna hatua tofauti katika maisha ya mtu ambayo kila moja ina sifa zake kutokana na umri na masharti ya mtu. Kwa mujibu wa Sura Al-Hadid ya Qur'ani Tukufu, maisha ya mwanadamu yana hatua tano.
Habari ID: 3476411    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/16

Sura za Qur'ani Tukufu / 52
TEHRAN (IQNA)- Mengi yamesemwa kuhusu akhera na maisha baada ya kifo na miongoni mwa imani kuu juu yake ni ile ya watu wa dini hasa Waislamu wanaoamini kuwa matendo ya kila mtu yatapimwa Siku ya Kiyama na kwa kuzingatia tathmini hiyo atakwenda ama peponi au motoni.
Habari ID: 3476334    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/31

Sura za Qur’ani Tukufu / 50
TEHRAN (IQNA) – Ufufuo na maisha baada ya kifo ni masuala ambayo yamesisitizwa katika mafundisho ya Kiislamu. Sura Qaaf ni moja ya sura za Qur'ani Tukufu ambayo inajibu maswali yaliyoulizwa na wale wanaofikiria maisha kuwa ni ya ulimwengu huu na wanaikana akhera.
Habari ID: 3476296    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/24

Sura za Qur'ani Tukufu / 46
TEHRAN (IQNA) – Watu wanaishi kwa uhuru wakiwa na imani na mawazo tofauti. Wanaweza kukataa ukweli na kufuata mawazo ya uwongo lakini wanapaswa kujua nini hatima inayowangoja wale wanaoikadhibisha ukweli na kufuata uwongo.
Habari ID: 3476225    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/10

Ukweli katika Qur'ani Tukufu / 6
TEHRAN (IQNA)-Katika kipindi cha karne mbili zilizopita, mwanadamu amezingatia zaidi mtazamo wa kitaalamu wa maisha ya wanyama, hasa wadudu.
Habari ID: 3476134    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/23

Tauhidi Katika Qur'ani Tukufu /2
TEHRAN (IQNA) – Kwa mujibu wa Qur’ani Tukufu, ukweli wa matendo ya mwanadamu utadhihirika Siku ya Kiyama na kila mtu atalipwa au kuadhibiwa kwa matendo yake wenyewe.
Habari ID: 3476100    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/16